List ya Lyrics


me and you by Ommy Dimpoz ft Vanessa Mdee

(verse1)
Huna skendo wala maringo
Acha nijidai jidai jidai ai ai 
Kwa wako upendo
wengine kando
Tupendane tufurahi furahi furahi
Tabia na mwenendo
Mpaka kwa vitendo
Ukiniacha me ntadie ai ai ai
Ooh maji ya shingo nimefika ukingo
 kweli I don't lie ie ie

ooh tubabajoro eeh baba ee
afyenga afyenga
Tumefika leo kwasababu yako baba
tubabatoro eeh baba ee
 i thank God  i thank God  
Tumefika leo kwasababu yako baba
Ooh me and you
Ooh me and you
Just me and you
Ooh me and you
Ooh me and you
just me and you
Ooh me and you
Ooh me and you
wherever me and you

Penzi lake ulimbo
Tabia nzuri na umbo
Mpaka najihisi  nafurahi
Pesa kwake sio fimbo
Hadanganyiki na bingo
Wengi kawatoa nishai
Nimeshamwimbia na nyimbo
Ye dereva me utingo
Kunipenda me sishangai
Chumbani mjuzi wa mambo
Ye ndio ala me chambo
Akinipa sikinai


ooh tubabajoro eeh baba ee
afyenga afyenga
Tumefika leo kwasababu yako baba
tubabatoro eeh baba ee
 i thank God  i thank God  
Tumefika leo kwasababu yako baba
Ooh me and you
Ooh me and you
Just me and you
Ooh me and you
Ooh me and you
just me and you
Ooh me and you
Ooh me and you
wherever me and you

leka dutigite lyrics by Kigoma all stars

Kigomaaa aee kigoma weeh tunayo furaha leka dutigite
Tunayo furaha kuwa wazawa wa kigoma leka dutigite wishala mwineke
Tunayo furaha kuwa wazawa wa kigoma leka dutigite wishala mwineke
Tunayo furaha kuwa wazawa wa kigoma leka dutigite wishala mwineke

(ommy dimpoz)
K k k k town kasulu ndipo baba alipozaliwa ooh japo nipo Dar 
Naupenda mkoa wangu kk kigoma kama vi
paji tumejaliwa
Kaseja na linya fahari mkoa wangu
Amawesele hivilibwani hivikunakadwumba (pozi kwa pozi)
Kigoma mkoa wangu ndio fahari yangu

Ardhi yenye rutuba ya kustawisha chelewa
Gombe na mahali wenye sokwe wasiolewa
Kigoma inapendeza sanaaa
Tunashukuru hivi ndio ninavosema
Nina furaha mbuga zetu
Nina furaha mafuta yetu
Ninafurahi eei ninafuraha

Kigomaaa aee kigoma weeh leka dutigite wishala mwineke
Kigomaaa aee kigoma weeh leka dutigite wishala mwineke
Kigomaaa aee kigoma weeh leka dutigite wishala mwineke
Kigomaaa aee kigoma weeh leka dutigite wishala mwineke

(chege)
Kigoma ndipo nilipotoka nimekuja dar kutafuta
Siku zote ntawakumbuka
Najivunia na sitajuta (nakumbuka)
Nakumbuka mama alisema ( nakumbuka)
mkataa kwao mtumwa dutigite

Kigoma inatambaa Tanganyika inabamba
Tufurahi tusherehekee pamoja
Twajivunia kigoma
Tunamshukuru maulana

Kigoma lango la Tanzania
Bandari kwa kahawa shaba kwa matania
Amani kwa wazawa kasulu kibondo ubunza

(baba levo)
Avandu bakundi vikogwaaa
Ziwa refu tunalo
na madini tunayo
Tuna mbuga za wanyama kama gombe na mahale
Ardhi safi tunayo na vipaji tunavyo
Sauti safi tena tamu tamu tamu tamu
Vigelegele na mashumamushamu
Kigoma yetu mambo bambambam

Meli ya lyemba wanasiasa mashujaa
Watetezi wa taifa kigoma tunatoka wote mastaa
Miss Tanzania K-lynn
Kaseba champion

leka dutigite wishala mwineke
Tunayo furaha kuwa wazawa wa kigoma leka dutigite wishala mwineke
Kigomaaa aee kigoma weeh leka dutigite wishala mwineke
Kigomaaa aee kigoma weeh leka dutigite wishala mwineke
Kigomaaa aee kigoma weeh leka dutigite wishala mwineke
Kigomaaa aee kigoma weeh leka dutigite wishala mwineke

Wese na ugali wa mhogo aakha wa muhogo
Ndivyo vimenifanya niwe diamond
Kwa vitenge na mashuka na chumvi kidog
Tena na muda nikawa mfalme
tena kigoma ya sasa sio kama ya zamani kigoma ya leo imesonga mbele
tena kigoma ya sasa sio kama ya zamani kasulu ya leo imesonga mbele

Amani na upendo ndio lugha ya kigoma
Kigoma ishaghoma kigoma yaenda mbele
Rangi yako ya kijani upepo wako ni mwanana
Kigoma nakupenda kigoma unanipenda

Amani itawale kigoma
amani itimie kigoma
amani inyumba kigoma shigoma kigoma
Amani itawale kigoma
amani itimie kigoma
amani inyumba kigoma shigoma kigoma

Kigoma shukrani kigoma
Kigoma nyumbani kigoma

Tunayo furaha kuwa wazawa wa kigoma leka dutigite wishala mwineke
Tunayo furaha kuwa wazawa wa kigoma leka dutigite wishala mwineke
Tunayo furaha kuwa wazawa wa kigoma leka dutigite wishala mwineke

Kigomaaa aee kigoma weeh leka dutigite wishala mwineke
Kigomaaa aee kigoma weeh leka dutigite wishala mwineke
Kigomaaa aee kigoma weeh leka dutigite wishala mwineke
Kigomaaa aee kigoma weeh leka dutigite wishala mwineke
…….till fade




baadae lyrics -ommy dimpoz

Nampenda kama ringtone
hana maringo, huyu binti mtamtam
swagga zake zipo simple
hapendi dingo, haniishi hamham
niko naye sina nyimbo
Nikatoa single, mpaka sasa nna album
mimi mkali wa mitindo
hata iki'mingle, kitandani mashamsham

kila siku mi niko naye
ila siku hizi penzi linatia fora eh
hata mama na papa eh
wanasema umenizidi TBS kwa ubora eh

kila siku mi niko naye
ila siku hizi penzi linatia fora eh
dem mama eh dem papa eh
wanasema umenizidi TBS kwa ubora eh

tukutane tena baadae eh, ai, baadae eh
njoo unipe tena baadae eh, si, baadae eh
usikose kuja baadae eh, ai, baadae eh
nitakungoja baadae eh, si, baadae eh

baadae eh, niko naye heey
baadae eh, niko naye heey

unang'aa bila lotion
mkali wa fashion, baby kama umechorwa eh
you got a temptation
sitaki nikukose, matajiri wakanipora eh
Penzi langu sio boshen
usijipe question, mimi ndiye mume bora eh
wananipangia mission
ili unitose, nimemuachia mola eh

kila siku mi niko naye
ila siku hizi penzi linatia fora eh
hata mama na papa eh
wanasema umenizidi TBS kwa ubora eh

kila siku mi niko naye
ila siku hizi penzi linatia fora eh
dem mama eh dem papa eh
wanasema umenizidi TBS kwa ubora eh

tukutane tena baadae eh, ai, baadae eh
njoo unipe tena baadae eh, si, baadae eh
usikose kuja baadae eh, ai, baadae eh
nitakungoja baadae eh, si, baadae eh

baadae eh, niko naye heey
baadae eh, niko naye heey

raha zote kwako napata, ai, napata!
umenichanganya nadata, si, nadata!

raha zote kwako napata, ai, napata!
umenichanganya nadata, si, nadata!

kila siku mi niko naye
ila siku hizi penzi linatia fora eh
hata mama na papa eh
wanasema umenizidi TBS kwa ubora eh

kila siku mi niko naye
ila siku hizi penzi linatia fora eh
dem mama eh dem papa eh
wanasema umenizidi TBS kwa ubora eh

tukutane tena baadae eh, ai, baadae eh
njoo unipe tena baadae eh, si, baadae eh
usikose kuja baadae eh, ai, baadae eh
nitakungoja baadae eh, si, baadae eh

baadae eh, niko naye heey
baadae eh, niko naye heey



mawazo lyrics by diamond


Ni..ngekuwa na uwezo, ningekunywa hata pombe ili nipunguze mawazo
Maana, Mchana kutwa hata usiku silali, mapenzi kwangu kikwazo
Ni..ngekuwa na uwezo, ningekunywa hata pombe ili nipunguze mawazo
Mara, Mchana kutwa hata usiku silali, mapenzi kwangu kikwazo

ah sikujua mapenzi balaa, tena ni maradhi ya moyo kupendaga
Tena mapenzi karaha, yanajenga chuki na choyo kwenye cover

utu wangu na thamani, ina maana kweli hakuvijua
licha ya burudani, ya mapenzi yangu akatimua
utu wangu na thamani, ina maana kweli hakuvijua
Uhuni jaa burudani mtaani, akaamua kutimua
Inaniuma sana

Ni..ngekuwa na uwezo, ningekunywa hata pombe ili nipunguze mawazo [...mhh mawazo]
Maana, Mchana kutwa hata usiku silali, mapenzi kwangu kikwazo [....mmh kikwazo]
Ni..ngekuwa na uwezo, ningekunywa hata pombe ili nipunguze mawazo [.nipunguze mawazo.]
Mara, Mchana kutwa hata usiku silali, mapenzi kwangu kikwazo [...nna mawazo]

Nikikumbukia!
ubongo unapata mawazo
Nikikumbukia!
ubongo unapata mawazo

Nikikumbukia!
ubongo unapata mawazo
Nikikumbukia!
ubongo unapata mawazo

Yule jini kisirani kaingia, kwenye utamu wa penzi langu
ameleta tafarani naumia, nalia na moyo wangu
Ona jini kisirani kaingia, kwenye utamu wa penzi langu
ameleta tafarani..... mwenzenu nalia na moyo wangu!

kuwa mimi wivu ninao na roho yangu ninaumia
kweli wapendanao ndo maadui zikitimia
lile tinga langu la maraha, leo limekuwa sumu kwangu
ona tena sina raha, ninacheka nnalia na moyo wangu

Ni..ngekuwa na uwezo, ningekunywa hata pombe ili nipunguze mawazo [...uhh mawazo...]
Maana, Mchana kutwa hata usiku silali, mapenzi kwangu kikwazo [...oh kikwazo..]
Ni..ngekuwa na uwezo, ningekunywa hata pombe ili nipunguze mawazo [....mawazo]
Mara, Mchana kutwa hata usiku silali, mapenzi kwangu kikwazo

Nikikumbukia!
ubongo unapata mawazo
Nikikumbukia!
ubongo unapata mawazo

Nikikumbukia!
ubongo unapata mawazo
Nikikumbukia!
ubongo unapata mawazo


utu wangu na thamani, ina maana kweli hakuvijua
licha ya burudani, ya mapenzi yangu akatimua
utu wangu na thamani, ina maana kweli hakuvijua
licha ya burudani, ya mapenzi yangu akatimua


single boy lyrics by Ali kiba ft lady Jay dee

yeah
single boy
i am a single boy

pombe ni kichwa kinauma, kishalewa, anajipoza na maji
na mimi hata muda sina, nishamkanya, ninasikiza mamelody
Nishamwambia nini wewe, kupenda sana utakuwa chizi
hayanaga mjuzi yahwe, kila mtu analilia mapenzi

karibu chama la bachelor, ukinipenda, namaliza leo leo tu
siku hizi kwa kudanganyana, mvulana msichana, ishakuwa poa poa tu
hakunaga mapenzi yale, yakugandana ni zama za kale
money on the table now, kinachofata ni mimi na wewe, na wewe

who the single boy, I am a single boy
who the single boy, mi naye single boy
who the single boy, mi na we single boy
who the single boy, single single single boy
who the single boy, I am a single boy
who the single boy,we the single boy
who the single boy, mi na we single boy
who the single boy, single single single boy
who the single boy
I  am a single boy

[Jay dee]
Nimemkuta analia, kajilaza, sababu amechoka
Mengi amevumilia, yalomkwaza, anataka kuondoka
ana siku ya pili sasa, hajarudi nyumbani kulala,
namuonea huruma sana, haya mapenzi hayana maana

karibu chama bachelor, ukinipenda, namalizana leoleo tu
siku hizi kwa kudanganyana, mvulana msichana, ishakuwa poa poa tu
hakunaga mapenzi yale, yakugandana ni zama za kale
money on the table now, kinachofata ni mimi na wewe

who the single girl
who the single girl
who the single girl
who the single girl, am the single single girl
who the single girl, who single girl
who the single girl, single single girl
who the single girl, who the single girl
who the single girl, single single girl
who the single girl


who the single girl
who the single boy, i am a single boy
who the single girl, i am a single girl
who the single boy, mi na we single boy

kesho by Diamond

(chorus)
me nataka kesho twende nikupeleke nyumbani
me nataka kesho twende ukamuone mama
me nataka kesho twende nikupeleke nyumbani
me nataka kesho twende ukamuone mama

(verse1)
Kwanza kabisa nitanyonga tai t’shirt na jeans nitatupa kidogoo
Niite nassib usiniite dai asije kukuona muhuni akapandisha mbogo
Na ukifika uagize chai savannah tequila uzipe kisogo
Kuhusu mavazi kimini haifai tupia pendeze  ladha yake inoge
Even thou wanaponda eti we ni kicheche
waambie ndo chaguo langu sasa wanicheke
Even thou wanaponda we ni kicheche
waambie ndo chaguo langu sasa wanicheke

(chorus)
me nataka kesho twende nikupeleke nyumbani
me nataka kesho twende ukamuone mama
me nataka kesho twende nikupeleke nyumbani
me nataka kesho twende ukamuone mama

(verse2)
na usilete swagger za nai nai
ukanyoa kiduku kama moze liogo
eti shopping twende thai
wakati dada angu ana duka kigogo
ukikuta nguna usikatae
we zuga unapenda hatakama wa  muhogo
kuhusu kabila wala silagai
Mama angu hana noma hatakama mgogo
Even thou wanaponda eti we ni kicheche
waambie ndo chaguo langu sasa wanicheke
Even thou wanaponda we ni kicheche
waambie ndo chaguo langu sasa wanicheke

(chorus)
me nataka kesho twende nikupeleke nyumbani
me nataka kesho twende ukamuone mama
me nataka kesho twende nikupeleke nyumbani
me nataka kesho twende ukamuone mama

(bridge)
mama yangu  mama
mama nassib mama
mama diamond mama
mama yangu nyumbani
mama chali mama
mama sepetu mama
mama kidoti mama
na mama diamond nyumbani

(piano plays...)

(chorus)
me nataka kesho twende nikupeleke nyumbani
me nataka kesho twende ukamuone mama
me nataka kesho twende nikupeleke nyumbani
me nataka kesho twende ukamuone mama

(piano plays......)

utamu by Dully sykes ft Ommy dimpoz and Diamond


Basi ndio ule utamu utamu
Ulionizidi hamu nami nikakupa peremende
Kama hauna nidhamu haramu
Nipe mambo matamu ila  kama hautaki niende

Basi ndio ule utamu utamu
Ulionizidi hamu nami nikakupa peremende
Kama hauna nidhamu haramu
Nipe mambo matamu ila  kama hautaki niende

Unavyokata utamu utamu
Ukicheka utamu utamu
Ukilia utamu utamu
Utamu utamu
Utamu utamu

Unavyokata utamu utamu

Ukicheka utamu utamu
Ukilia utamu utamu
Utamu utamu
Utamu utamu

Uzuri wako kama wema pale kati
Nimekuteka hata jigga hakupati
Hata wengine wakisema umeshapenda na mimi nakupenda kwa dhati
Sura yako tamu kama Jokate japokuwa baby umekosa kidoti
Darling nipe tena kwa kitanda hata pale kwenye busati
Let me say
Hii mami leo nachoomba onyesha upeo
Unipe mambo ya kwenye video
Unipe maraha maradha mavituz ya dunia hii
Hii mami leo nachoomba onyesha upeo
Unipe mambo ya kwenye video
Unipe maraha maradha mavituz ya dunia hii

Unavyokata utamu utamu
Ukicheka utamu utamu
Ukilia utamu utamu
Utamu utamu
Utamu utamu

Unavyokata utamu utamu

Ukicheka utamu utamu
Ukilia utamu utamu
Utamu utamu
Utamu utamu

Simtaki mwingine kipenzi ni wewe
Ndio simtaki

pisto yangu unaikoki(click sound)
Unaanza kuishika shika
Na machozi yakububujika
Mwishoni na yenyewe inakudedisha(paah)

ooh unaikoki mama(click sound)
Unaanza kuishika shika
Na machozi yakububujika
Mwishoni na yenyewe inakudedisha(paah)


Hii mami leo nachoomba onyesha upeo
Unipe mambo ya kwenye video
Unipe maraha maradha mavituz ya dunia hii
Hii mami leo nachoomba onyesha upeo
Unipe mambo ya kwenye video
Unipe maraha maradha mavituz ya dunia hii

Habdsome yule mtoto wa kariakoo
Awesome
Na diamond na pouz kwa pouz


Unavyokata utamu utamu
Ukicheka utamu utamu
Ukilia utamu utamu
Utamu utamu
Utamu utamu

Unavyokata utamu utamu

Ukicheka utamu utamu
Ukilia utamu utamu
Utamu utamu
Utamu utamu

Basi ndio utamu utamu

Ulionizidi hamu nami nikakupa peremende
Kama hauna nidhamu haramu
Nipe mambo matamu ila  kama hautaki niende

Basi ndio utamu utamu
Ulionizidi hamu nami nikakupa peremende
Kama hauna nidhamu haramu
Nipe mambo matamu ila  kama hautaki niende

kama ningeweza uje ishi nami huku dar.....till fade

Nataka Kulewa by Diamond

we niache niende niende! niende niende!
niache niende niende, niende niende!

(verse1)
Uh, usiniulize kwanini, sababu utanizingua
Ukitaka jiunge na mimi, kama ni pesa we kunywa nitanunua
Mi mwanzo sikuamini, nikajuaga vya kuzua
Kumbe mjinga ni mimi, ninayetunza wenzangu wanachukua
oh mapenzi, (mapenzi) yalinifanya kama mtoto nilie vibaya
mie siwezi, walionikuta waniache nisemee jina
oh mapenzi, [mapenzi] yalinifanya kama mtoto nilie vibaya
na nina mengi, ah yamenikaa moyoni

(chorus)
leo nataka kulewa, Lewa!
mi nataka kulewa, Lewa!
nataka kulewa, Lewa!
zikipanda nimwage radhi

nataka kulewa, Lewa!

mi nataka kulewa, Lewa!
nataka kulewa, Lewa!
zikipanda nimwage radhi

we niache niende niende!, niende niende!

niache niende niende, niende niende!

(verse2)
Mi kwa mapenzi maskini, nikamvisha na pete kwa kumuoa
kukata vilimi limi, vya wazushi wanafiki wanaomponda
kumbe mwenzangu na mimi, ni bure tu unajisumbua
si tuko kama ishirini, mabuzi ving'asti wengine anawahonga

oh mapenzi, [mapenzi] yalinifanya kama mtoto nilie vibaya
mie siwezi, walionikuta waniache nisemee jina
oh mapenzi, [mapenzi] yalinifanya kama mtoto nilie vibaya
na nina mengi, ah yamenijaa moyoni

(chorus)
leo nataka kulewa, Lewa!
mi nataka kulewa, Lewa!
nataka kulewa, Lewa!
zikipanda nimwage radhi

nataka kulewa, Lewa!

mi nataka kulewa, Lewa!
nataka kulewa, Lewa!
zikipanda nimwage radhi

we niache niende niende, [Kulewa, kulewaa] niende niende!
niache niende niende, [Kulewa, kulewaa]  niende niende!

[Kulewa, kulewaa]
[Kulewa, kulewaa]
[Kulewa, kulewaa]


0 commentaires:

Maoni yako yanaweza tusaidia tunakuskia!