List ya Lyrics
me and you by Ommy Dimpoz ft Vanessa Mdee
(verse1)
Huna skendo
wala maringo
Acha nijidai
jidai jidai ai ai
Kwa wako
upendo
wengine kando
Tupendane
tufurahi furahi furahi
Tabia na
mwenendo
Mpaka kwa
vitendo
Ukiniacha me
ntadie ai ai ai
Ooh maji ya
shingo nimefika ukingo
kweli I
don't lie ie ie
ooh tubabajoro
eeh baba ee
afyenga
afyenga
Tumefika leo
kwasababu yako baba
tubabatoro eeh
baba ee
i thank
God i thank God
Tumefika leo
kwasababu yako baba
Ooh me and you
Ooh me and you
Just me and
you
Ooh me and you
Ooh me and you
just me and
you
Ooh me and you
Ooh me and you
wherever me
and you
Penzi lake
ulimbo
Tabia nzuri na
umbo
Mpaka
najihisi nafurahi
Pesa kwake sio
fimbo
Hadanganyiki
na bingo
Wengi kawatoa
nishai
Nimeshamwimbia
na nyimbo
Ye dereva me
utingo
Kunipenda me
sishangai
Chumbani mjuzi
wa mambo
Ye ndio ala me
chambo
Akinipa
sikinai
ooh tubabajoro
eeh baba ee
afyenga
afyenga
Tumefika leo
kwasababu yako baba
tubabatoro eeh
baba ee
i thank
God i thank God
Tumefika leo
kwasababu yako baba
Ooh me and you
Ooh me and you
Just me and
you
Ooh me and you
Ooh me and you
just me and
you
Ooh me and you
Ooh me and you
wherever me
and you
leka dutigite lyrics by Kigoma all stars
Kigomaaa
aee kigoma weeh tunayo furaha leka dutigite
Tunayo furaha kuwa wazawa wa kigoma leka dutigite wishala mwineke
Tunayo furaha kuwa wazawa wa kigoma leka dutigite wishala mwineke
Tunayo furaha kuwa wazawa wa kigoma leka dutigite wishala mwineke
(ommy dimpoz)
K k k k town kasulu ndipo baba alipozaliwa ooh japo nipo Dar
Naupenda mkoa wangu kk kigoma kama vi
Tunayo furaha kuwa wazawa wa kigoma leka dutigite wishala mwineke
Tunayo furaha kuwa wazawa wa kigoma leka dutigite wishala mwineke
Tunayo furaha kuwa wazawa wa kigoma leka dutigite wishala mwineke
(ommy dimpoz)
K k k k town kasulu ndipo baba alipozaliwa ooh japo nipo Dar
Naupenda mkoa wangu kk kigoma kama vi
paji
tumejaliwa
Kaseja na linya fahari mkoa wangu
Amawesele hivilibwani hivikunakadwumba (pozi kwa pozi)
Kigoma mkoa wangu ndio fahari yangu
Ardhi yenye rutuba ya kustawisha chelewa
Gombe na mahali wenye sokwe wasiolewa
Kigoma inapendeza sanaaa
Tunashukuru hivi ndio ninavosema
Nina furaha mbuga zetu
Nina furaha mafuta yetu
Ninafurahi eei ninafuraha
Kigomaaa aee kigoma weeh leka dutigite wishala mwineke
Kigomaaa aee kigoma weeh leka dutigite wishala mwineke
Kigomaaa aee kigoma weeh leka dutigite wishala mwineke
Kigomaaa aee kigoma weeh leka dutigite wishala mwineke
(chege)
Kigoma ndipo nilipotoka nimekuja dar kutafuta
Siku zote ntawakumbuka
Najivunia na sitajuta (nakumbuka)
Nakumbuka mama alisema ( nakumbuka)
mkataa kwao mtumwa dutigite
Kigoma inatambaa Tanganyika inabamba
Tufurahi tusherehekee pamoja
Twajivunia kigoma
Tunamshukuru maulana
Kigoma lango la Tanzania
Bandari kwa kahawa shaba kwa matania
Amani kwa wazawa kasulu kibondo ubunza
(baba levo)
Avandu bakundi vikogwaaa
Ziwa refu tunalo
na madini tunayo
Tuna mbuga za wanyama kama gombe na mahale
Ardhi safi tunayo na vipaji tunavyo
Sauti safi tena tamu tamu tamu tamu
Vigelegele na mashumamushamu
Kigoma yetu mambo bambambam
Meli ya lyemba wanasiasa mashujaa
Watetezi wa taifa kigoma tunatoka wote mastaa
Miss Tanzania K-lynn
Kaseba champion
leka dutigite wishala mwineke
Tunayo furaha kuwa wazawa wa kigoma leka dutigite wishala mwineke
Kigomaaa aee kigoma weeh leka dutigite wishala mwineke
Kigomaaa aee kigoma weeh leka dutigite wishala mwineke
Kigomaaa aee kigoma weeh leka dutigite wishala mwineke
Kigomaaa aee kigoma weeh leka dutigite wishala mwineke
Wese na ugali wa mhogo aakha wa muhogo
Ndivyo vimenifanya niwe diamond
Kwa vitenge na mashuka na chumvi kidog
Tena na muda nikawa mfalme
tena kigoma ya sasa sio kama ya zamani kigoma ya leo imesonga mbele
tena kigoma ya sasa sio kama ya zamani kasulu ya leo imesonga mbele
Amani na upendo ndio lugha ya kigoma
Kigoma ishaghoma kigoma yaenda mbele
Rangi yako ya kijani upepo wako ni mwanana
Kigoma nakupenda kigoma unanipenda
Amani itawale kigoma
amani itimie kigoma
amani inyumba kigoma shigoma kigoma
Amani itawale kigoma
amani itimie kigoma
amani inyumba kigoma shigoma kigoma
Kigoma shukrani kigoma
Kigoma nyumbani kigoma
Tunayo furaha kuwa wazawa wa kigoma leka dutigite wishala mwineke
Tunayo furaha kuwa wazawa wa kigoma leka dutigite wishala mwineke
Tunayo furaha kuwa wazawa wa kigoma leka dutigite wishala mwineke
Kigomaaa aee kigoma weeh leka dutigite wishala mwineke
Kigomaaa aee kigoma weeh leka dutigite wishala mwineke
Kigomaaa aee kigoma weeh leka dutigite wishala mwineke
Kigomaaa aee kigoma weeh leka dutigite wishala mwineke
…….till fade
Kaseja na linya fahari mkoa wangu
Amawesele hivilibwani hivikunakadwumba (pozi kwa pozi)
Kigoma mkoa wangu ndio fahari yangu
Ardhi yenye rutuba ya kustawisha chelewa
Gombe na mahali wenye sokwe wasiolewa
Kigoma inapendeza sanaaa
Tunashukuru hivi ndio ninavosema
Nina furaha mbuga zetu
Nina furaha mafuta yetu
Ninafurahi eei ninafuraha
Kigomaaa aee kigoma weeh leka dutigite wishala mwineke
Kigomaaa aee kigoma weeh leka dutigite wishala mwineke
Kigomaaa aee kigoma weeh leka dutigite wishala mwineke
Kigomaaa aee kigoma weeh leka dutigite wishala mwineke
(chege)
Kigoma ndipo nilipotoka nimekuja dar kutafuta
Siku zote ntawakumbuka
Najivunia na sitajuta (nakumbuka)
Nakumbuka mama alisema ( nakumbuka)
mkataa kwao mtumwa dutigite
Kigoma inatambaa Tanganyika inabamba
Tufurahi tusherehekee pamoja
Twajivunia kigoma
Tunamshukuru maulana
Kigoma lango la Tanzania
Bandari kwa kahawa shaba kwa matania
Amani kwa wazawa kasulu kibondo ubunza
(baba levo)
Avandu bakundi vikogwaaa
Ziwa refu tunalo
na madini tunayo
Tuna mbuga za wanyama kama gombe na mahale
Ardhi safi tunayo na vipaji tunavyo
Sauti safi tena tamu tamu tamu tamu
Vigelegele na mashumamushamu
Kigoma yetu mambo bambambam
Meli ya lyemba wanasiasa mashujaa
Watetezi wa taifa kigoma tunatoka wote mastaa
Miss Tanzania K-lynn
Kaseba champion
leka dutigite wishala mwineke
Tunayo furaha kuwa wazawa wa kigoma leka dutigite wishala mwineke
Kigomaaa aee kigoma weeh leka dutigite wishala mwineke
Kigomaaa aee kigoma weeh leka dutigite wishala mwineke
Kigomaaa aee kigoma weeh leka dutigite wishala mwineke
Kigomaaa aee kigoma weeh leka dutigite wishala mwineke
Wese na ugali wa mhogo aakha wa muhogo
Ndivyo vimenifanya niwe diamond
Kwa vitenge na mashuka na chumvi kidog
Tena na muda nikawa mfalme
tena kigoma ya sasa sio kama ya zamani kigoma ya leo imesonga mbele
tena kigoma ya sasa sio kama ya zamani kasulu ya leo imesonga mbele
Amani na upendo ndio lugha ya kigoma
Kigoma ishaghoma kigoma yaenda mbele
Rangi yako ya kijani upepo wako ni mwanana
Kigoma nakupenda kigoma unanipenda
Amani itawale kigoma
amani itimie kigoma
amani inyumba kigoma shigoma kigoma
Amani itawale kigoma
amani itimie kigoma
amani inyumba kigoma shigoma kigoma
Kigoma shukrani kigoma
Kigoma nyumbani kigoma
Tunayo furaha kuwa wazawa wa kigoma leka dutigite wishala mwineke
Tunayo furaha kuwa wazawa wa kigoma leka dutigite wishala mwineke
Tunayo furaha kuwa wazawa wa kigoma leka dutigite wishala mwineke
Kigomaaa aee kigoma weeh leka dutigite wishala mwineke
Kigomaaa aee kigoma weeh leka dutigite wishala mwineke
Kigomaaa aee kigoma weeh leka dutigite wishala mwineke
Kigomaaa aee kigoma weeh leka dutigite wishala mwineke
…….till fade
baadae lyrics -ommy dimpoz
Nampenda
kama ringtone
hana
maringo, huyu binti mtamtam
swagga
zake zipo simple
hapendi
dingo, haniishi hamham
niko
naye sina nyimbo
Nikatoa
single, mpaka sasa nna album
mimi
mkali wa mitindo
hata
iki'mingle, kitandani mashamsham
kila
siku mi niko naye
ila
siku hizi penzi linatia fora eh
hata
mama na papa eh
wanasema
umenizidi TBS kwa ubora eh
kila
siku mi niko naye
ila
siku hizi penzi linatia fora eh
dem
mama eh dem papa eh
wanasema
umenizidi TBS kwa ubora eh
tukutane
tena baadae eh, ai, baadae eh
njoo
unipe tena baadae eh, si, baadae eh
usikose
kuja baadae eh, ai, baadae eh
nitakungoja
baadae eh, si, baadae eh
baadae
eh, niko naye heey
baadae
eh, niko naye heey
unang'aa
bila lotion
mkali
wa fashion, baby kama umechorwa eh
you
got a temptation
sitaki
nikukose, matajiri wakanipora eh
Penzi
langu sio boshen
usijipe
question, mimi ndiye mume bora eh
wananipangia
mission
ili
unitose, nimemuachia mola eh
kila
siku mi niko naye
ila
siku hizi penzi linatia fora eh
hata
mama na papa eh
wanasema
umenizidi TBS kwa ubora eh
kila
siku mi niko naye
ila
siku hizi penzi linatia fora eh
dem
mama eh dem papa eh
wanasema
umenizidi TBS kwa ubora eh
tukutane
tena baadae eh, ai, baadae eh
njoo
unipe tena baadae eh, si, baadae eh
usikose
kuja baadae eh, ai, baadae eh
nitakungoja
baadae eh, si, baadae eh
baadae
eh, niko naye heey
baadae
eh, niko naye heey
raha
zote kwako napata, ai, napata!
umenichanganya
nadata, si, nadata!
raha
zote kwako napata, ai, napata!
umenichanganya
nadata, si, nadata!
kila
siku mi niko naye
ila
siku hizi penzi linatia fora eh
hata
mama na papa eh
wanasema
umenizidi TBS kwa ubora eh
kila
siku mi niko naye
ila
siku hizi penzi linatia fora eh
dem
mama eh dem papa eh
wanasema
umenizidi TBS kwa ubora eh
tukutane
tena baadae eh, ai, baadae eh
njoo
unipe tena baadae eh, si, baadae eh
usikose
kuja baadae eh, ai, baadae eh
nitakungoja
baadae eh, si, baadae eh
baadae
eh, niko naye heey
baadae
eh, niko naye heey
mawazo lyrics by diamond
Ni..ngekuwa na uwezo, ningekunywa hata pombe ili nipunguze mawazo
Maana, Mchana kutwa hata usiku silali, mapenzi kwangu kikwazo
Ni..ngekuwa na uwezo, ningekunywa hata pombe ili nipunguze mawazo
Mara, Mchana kutwa hata usiku silali, mapenzi kwangu kikwazo
ah sikujua mapenzi balaa, tena ni maradhi ya moyo kupendaga
Tena mapenzi karaha, yanajenga chuki na choyo kwenye cover
utu wangu na thamani, ina maana kweli hakuvijua
licha ya burudani, ya mapenzi yangu akatimua
utu wangu na thamani, ina maana kweli hakuvijua
Uhuni jaa burudani mtaani, akaamua kutimua
Inaniuma sana
Ni..ngekuwa na uwezo, ningekunywa hata pombe ili nipunguze mawazo [...mhh mawazo]
Maana, Mchana kutwa hata usiku silali, mapenzi kwangu kikwazo [....mmh kikwazo]
Ni..ngekuwa na uwezo, ningekunywa hata pombe ili nipunguze mawazo [.nipunguze mawazo.]
Mara, Mchana kutwa hata usiku silali, mapenzi kwangu kikwazo [...nna mawazo]
Nikikumbukia!
ubongo unapata mawazo
Nikikumbukia!
ubongo unapata mawazo
Nikikumbukia!
ubongo unapata mawazo
Nikikumbukia!
ubongo unapata mawazo
Yule jini kisirani kaingia, kwenye utamu wa penzi langu
ameleta tafarani naumia, nalia na moyo wangu
Ona jini kisirani kaingia, kwenye utamu wa penzi langu
ameleta tafarani..... mwenzenu nalia na moyo wangu!
kuwa mimi wivu ninao na roho yangu ninaumia
kweli wapendanao ndo maadui zikitimia
lile tinga langu la maraha, leo limekuwa sumu kwangu
ona tena sina raha, ninacheka nnalia na moyo wangu
Ni..ngekuwa na uwezo, ningekunywa hata pombe ili nipunguze mawazo [...uhh mawazo...]
Maana, Mchana kutwa hata usiku silali, mapenzi kwangu kikwazo [...oh kikwazo..]
Ni..ngekuwa na uwezo, ningekunywa hata pombe ili nipunguze mawazo [....mawazo]
Mara, Mchana kutwa hata usiku silali, mapenzi kwangu kikwazo
Nikikumbukia!
ubongo unapata mawazo
Nikikumbukia!
ubongo unapata mawazo
Nikikumbukia!
ubongo unapata mawazo
Nikikumbukia!
ubongo unapata mawazo
utu wangu na thamani, ina maana kweli hakuvijua
licha ya burudani, ya mapenzi yangu akatimua
utu wangu na thamani, ina maana kweli hakuvijua
licha ya burudani, ya mapenzi yangu akatimua
single boy lyrics by Ali kiba ft lady Jay dee
yeah
single boy
i am a single boy
pombe ni kichwa kinauma, kishalewa, anajipoza na maji
na mimi hata muda sina, nishamkanya, ninasikiza mamelody
Nishamwambia nini wewe, kupenda sana utakuwa chizi
hayanaga mjuzi yahwe, kila mtu analilia mapenzi
karibu chama la bachelor, ukinipenda, namaliza leo leo tu
siku hizi kwa kudanganyana, mvulana msichana, ishakuwa poa poa tu
hakunaga mapenzi yale, yakugandana ni zama za kale
money on the table now, kinachofata ni mimi na wewe, na wewe
who the single boy, I am a single boy
who the single boy, mi naye single boy
who the single boy, mi na we single boy
who the single boy, single single single boy
who the single boy, I am a single boy
who the single boy,we the single boy
who the single boy, mi na we single boy
who the single boy, single single single boy
who the single boy
I am a single boy
[Jay dee]
Nimemkuta analia, kajilaza, sababu amechoka
Mengi amevumilia, yalomkwaza, anataka kuondoka
ana siku ya pili sasa, hajarudi nyumbani kulala,
namuonea huruma sana, haya mapenzi hayana maana
karibu chama bachelor, ukinipenda, namalizana leoleo tu
siku hizi kwa kudanganyana, mvulana msichana, ishakuwa poa poa tu
hakunaga mapenzi yale, yakugandana ni zama za kale
money on the table now, kinachofata ni mimi na wewe
who the single girl
who the single girl
who the single girl
who the single girl, am the single single girl
who the single girl, who single girl
who the single girl, single single girl
who the single girl, who the single girl
who the single girl, single single girl
who the single girl
who the single girl
who the single boy, i am a single boy
who the single girl, i am a single girl
who the single boy, mi na we single boy
single boy
i am a single boy
pombe ni kichwa kinauma, kishalewa, anajipoza na maji
na mimi hata muda sina, nishamkanya, ninasikiza mamelody
Nishamwambia nini wewe, kupenda sana utakuwa chizi
hayanaga mjuzi yahwe, kila mtu analilia mapenzi
karibu chama la bachelor, ukinipenda, namaliza leo leo tu
siku hizi kwa kudanganyana, mvulana msichana, ishakuwa poa poa tu
hakunaga mapenzi yale, yakugandana ni zama za kale
money on the table now, kinachofata ni mimi na wewe, na wewe
who the single boy, I am a single boy
who the single boy, mi naye single boy
who the single boy, mi na we single boy
who the single boy, single single single boy
who the single boy, I am a single boy
who the single boy,we the single boy
who the single boy, mi na we single boy
who the single boy, single single single boy
who the single boy
I am a single boy
[Jay dee]
Nimemkuta analia, kajilaza, sababu amechoka
Mengi amevumilia, yalomkwaza, anataka kuondoka
ana siku ya pili sasa, hajarudi nyumbani kulala,
namuonea huruma sana, haya mapenzi hayana maana
karibu chama bachelor, ukinipenda, namalizana leoleo tu
siku hizi kwa kudanganyana, mvulana msichana, ishakuwa poa poa tu
hakunaga mapenzi yale, yakugandana ni zama za kale
money on the table now, kinachofata ni mimi na wewe
who the single girl
who the single girl
who the single girl
who the single girl, am the single single girl
who the single girl, who single girl
who the single girl, single single girl
who the single girl, who the single girl
who the single girl, single single girl
who the single girl
who the single girl
who the single boy, i am a single boy
who the single girl, i am a single girl
who the single boy, mi na we single boy
kesho by Diamond
(chorus)
me nataka
kesho twende nikupeleke nyumbani
me nataka
kesho twende ukamuone mama
me nataka
kesho twende nikupeleke nyumbani
me nataka
kesho twende ukamuone mama
(verse1)
Kwanza kabisa
nitanyonga tai t’shirt na jeans nitatupa kidogoo
Niite nassib
usiniite dai asije kukuona muhuni akapandisha mbogo
Na ukifika
uagize chai savannah tequila uzipe kisogo
Kuhusu mavazi
kimini haifai tupia pendeze ladha yake inoge
Even thou
wanaponda eti we ni kicheche
waambie ndo
chaguo langu sasa wanicheke
Even thou
wanaponda we ni kicheche
waambie ndo
chaguo langu sasa wanicheke
(chorus)
me nataka
kesho twende nikupeleke nyumbani
me nataka
kesho twende ukamuone mama
me nataka
kesho twende nikupeleke nyumbani
me nataka
kesho twende ukamuone mama
(verse2)
na usilete
swagger za nai nai
ukanyoa kiduku
kama moze liogo
eti shopping
twende thai
wakati dada
angu ana duka kigogo
ukikuta nguna
usikatae
we zuga
unapenda hatakama wa muhogo
kuhusu kabila
wala silagai
Mama angu hana
noma hatakama mgogo
Even thou
wanaponda eti we ni kicheche
waambie ndo
chaguo langu sasa wanicheke
Even thou
wanaponda we ni kicheche
waambie ndo
chaguo langu sasa wanicheke
(chorus)
me nataka
kesho twende nikupeleke nyumbani
me nataka
kesho twende ukamuone mama
me nataka
kesho twende nikupeleke nyumbani
me nataka
kesho twende ukamuone mama
(bridge)
mama yangu
mama
mama nassib
mama
mama diamond
mama
mama
yangu nyumbani
mama chali
mama
mama sepetu
mama
mama kidoti
mama
na mama
diamond nyumbani
(piano
plays...)
(chorus)
me nataka
kesho twende nikupeleke nyumbani
me nataka
kesho twende ukamuone mama
me nataka
kesho twende nikupeleke nyumbani
me nataka
kesho twende ukamuone mama
(piano
plays......)
utamu by Dully sykes ft Ommy dimpoz and Diamond
Basi ndio ule utamu utamu
Ulionizidi hamu nami nikakupa peremende
Kama hauna nidhamu haramu
Nipe mambo matamu ila kama hautaki niende
Basi ndio ule utamu utamu
Ulionizidi hamu nami nikakupa peremende
Kama hauna nidhamu haramu
Nipe mambo matamu ila kama hautaki niende
Unavyokata utamu utamu
Ukicheka utamu utamu
Ukilia utamu utamu
Utamu utamu
Utamu utamu
Unavyokata utamu utamu
Ukicheka utamu utamu
Ukilia utamu utamu
Utamu utamu
Utamu utamu
Uzuri wako kama wema pale kati
Nimekuteka hata jigga hakupati
Hata wengine wakisema umeshapenda na mimi nakupenda kwa dhati
Sura yako tamu kama Jokate japokuwa baby umekosa kidoti
Darling nipe tena kwa kitanda hata pale kwenye busati
Let me say
Hii mami leo nachoomba onyesha upeo
Unipe mambo ya kwenye video
Unipe maraha maradha mavituz ya dunia hii
Hii mami leo nachoomba onyesha upeo
Unipe mambo ya kwenye video
Unipe maraha maradha mavituz ya dunia hii
Unavyokata utamu utamu
Ukicheka utamu utamu
Ukilia utamu utamu
Utamu utamu
Utamu utamu
Unavyokata utamu utamu
Ukicheka utamu utamu
Ukilia utamu utamu
Utamu utamu
Utamu utamu
Simtaki mwingine kipenzi ni wewe
Ndio simtaki
pisto yangu unaikoki(click sound)
Unaanza kuishika shika
Na machozi yakububujika
Mwishoni na yenyewe inakudedisha(paah)
ooh unaikoki mama(click sound)
Unaanza kuishika shika
Na machozi yakububujika
Mwishoni na yenyewe inakudedisha(paah)
Hii mami leo nachoomba onyesha upeo
Unipe mambo ya kwenye video
Unipe maraha maradha mavituz ya dunia hii
Hii mami leo nachoomba onyesha upeo
Unipe mambo ya kwenye video
Unipe maraha maradha mavituz ya dunia hii
Habdsome yule mtoto wa kariakoo
Awesome
Na diamond na pouz kwa pouz
Unavyokata utamu utamu
Ukicheka utamu utamu
Ukilia utamu utamu
Utamu utamu
Utamu utamu
Unavyokata utamu utamu
Ukicheka utamu utamu
Ukilia utamu utamu
Utamu utamu
Utamu utamu
Basi ndio utamu utamu
Ulionizidi hamu nami nikakupa peremende
Kama hauna nidhamu haramu
Nipe mambo matamu ila kama hautaki niende
Basi ndio utamu utamu
Ulionizidi hamu nami nikakupa peremende
Kama hauna nidhamu haramu
Nipe mambo matamu ila kama hautaki niende
kama ningeweza uje ishi nami huku dar.....till fade
Nataka Kulewa by Diamond
we
niache niende niende! niende niende!
niache niende niende, niende niende!
(verse1)
Uh, usiniulize kwanini, sababu utanizingua
Ukitaka jiunge na mimi, kama ni pesa we kunywa nitanunua
Mi mwanzo sikuamini, nikajuaga vya kuzua
Kumbe mjinga ni mimi, ninayetunza wenzangu wanachukua
oh mapenzi, (mapenzi) yalinifanya kama mtoto nilie vibaya
mie siwezi, walionikuta waniache nisemee jina
oh mapenzi, [mapenzi] yalinifanya kama mtoto nilie vibaya
na nina mengi, ah yamenikaa moyoni
(chorus)
leo nataka kulewa, Lewa!
mi nataka kulewa, Lewa!
nataka kulewa, Lewa!
zikipanda nimwage radhi
nataka kulewa, Lewa!
mi nataka kulewa, Lewa!
nataka kulewa, Lewa!
zikipanda nimwage radhi
we niache niende niende!, niende niende!
niache niende niende, niende niende!
(verse2)
Mi kwa mapenzi maskini, nikamvisha na pete kwa kumuoa
kukata vilimi limi, vya wazushi wanafiki wanaomponda
kumbe mwenzangu na mimi, ni bure tu unajisumbua
si tuko kama ishirini, mabuzi ving'asti wengine anawahonga
oh mapenzi, [mapenzi] yalinifanya kama mtoto nilie vibaya
mie siwezi, walionikuta waniache nisemee jina
oh mapenzi, [mapenzi] yalinifanya kama mtoto nilie vibaya
na nina mengi, ah yamenijaa moyoni
(chorus)
leo nataka kulewa, Lewa!
mi nataka kulewa, Lewa!
nataka kulewa, Lewa!
zikipanda nimwage radhi
nataka kulewa, Lewa!
mi nataka kulewa, Lewa!
nataka kulewa, Lewa!
zikipanda nimwage radhi
we niache niende niende, [Kulewa, kulewaa] niende niende!
niache niende niende, [Kulewa, kulewaa] niende niende!
[Kulewa, kulewaa]
[Kulewa, kulewaa]
[Kulewa, kulewaa]
niache niende niende, niende niende!
(verse1)
Uh, usiniulize kwanini, sababu utanizingua
Ukitaka jiunge na mimi, kama ni pesa we kunywa nitanunua
Mi mwanzo sikuamini, nikajuaga vya kuzua
Kumbe mjinga ni mimi, ninayetunza wenzangu wanachukua
oh mapenzi, (mapenzi) yalinifanya kama mtoto nilie vibaya
mie siwezi, walionikuta waniache nisemee jina
oh mapenzi, [mapenzi] yalinifanya kama mtoto nilie vibaya
na nina mengi, ah yamenikaa moyoni
(chorus)
leo nataka kulewa, Lewa!
mi nataka kulewa, Lewa!
nataka kulewa, Lewa!
zikipanda nimwage radhi
nataka kulewa, Lewa!
mi nataka kulewa, Lewa!
nataka kulewa, Lewa!
zikipanda nimwage radhi
we niache niende niende!, niende niende!
niache niende niende, niende niende!
(verse2)
Mi kwa mapenzi maskini, nikamvisha na pete kwa kumuoa
kukata vilimi limi, vya wazushi wanafiki wanaomponda
kumbe mwenzangu na mimi, ni bure tu unajisumbua
si tuko kama ishirini, mabuzi ving'asti wengine anawahonga
oh mapenzi, [mapenzi] yalinifanya kama mtoto nilie vibaya
mie siwezi, walionikuta waniache nisemee jina
oh mapenzi, [mapenzi] yalinifanya kama mtoto nilie vibaya
na nina mengi, ah yamenijaa moyoni
(chorus)
leo nataka kulewa, Lewa!
mi nataka kulewa, Lewa!
nataka kulewa, Lewa!
zikipanda nimwage radhi
nataka kulewa, Lewa!
mi nataka kulewa, Lewa!
nataka kulewa, Lewa!
zikipanda nimwage radhi
we niache niende niende, [Kulewa, kulewaa] niende niende!
niache niende niende, [Kulewa, kulewaa] niende niende!
[Kulewa, kulewaa]
[Kulewa, kulewaa]
[Kulewa, kulewaa]
0 commentaires:
Maoni yako yanaweza tusaidia tunakuskia!