Latest News

lundi 10 juin 2013

Matukio na baadhi ya washindi wa tuzo za Kill - 2013

GK Barnaba akitumbuiza Snura Josee Mara Afande sele kama kawa Dancing Dhabith Abdul Mpoto na Ditto wakipokea tuzo Producer Walter akipokea tuzo Wema akimkabidhi tuzo Dimpoz Dj Fetty in the

samedi 8 juin 2013

RINEM Signification du Logo

ce logo veux dire que la couleur noir rouge verte jaune ce sont les couleurs de la liberation de nos esprits dominer par le mondain, les deux etoiles nous orientent

vendredi 7 juin 2013

Exclusive: Madee kuja na movie ya ‘Nani Kamwaga Pombe Yangu’

Mwanamuziki wa kundi la Tip Top Connection anayetamba na ngoma yake ‘Sio Mimi’, Madee amesema kwasasa anaendelea na project ya kuandaa movie yenye jina hilo ikiwa ni mwendelezo wa wimbo wake

MEGA CONCERT A BUKAVU

Méga sublime concert!!!! Intérpretation, Musique, Chant, Danse, Méga sublime beauté! SOUSETTE SHAGASHA ce samedi 15 juin 2013  

Miss World 2013: Hakutakuwa na vazi la bikini katika shindano la kumsaka mrembo wa dunia mwaka huu!

Shindano la kumtafuta mrembo wa dunia kwa mwaka huu 2013 linategemewa kufanyika hukoIndonesia, lakini utofauti utakaokuwepo ni kwamba washiriki hawatavaa vazi la bikini kamailivyozoeleka katika mashindano yaliyopita. Kwa mujibu wa mtandao

lundi 27 mai 2013

OMMY DIMPOZ AWAPA SUPRISE NAY & DIAMOND NDANI YA MAISHA CLUB

Aikuwa kwenye ratiba ya video launching ya Muziki Gani.... Lakini kama ndugu yangu aliposikia Kuna show yetu baada ya kuwa na tour ndefu Barani Ulaya  akuona tabu kuja kuona show...

mercredi 22 mai 2013

HII NDO LIST YA WATU MAARUFU KUTOKA KENYA NA TANZANIA, AMBAO WAMETAJWA NA MTANDAO WA KENYA KUA NI MAFREEMASON. WOLPER NAE KATAJWA

Inawezekana kila kitu kina wakati wake, kuna muda watu walikuwa wakisikia neno ‘Freemason’ ama ‘Illuminate’ kama inavyojulikana nchini Kenya wengi walikuwa wanaiona ni habari kubwa, lakini kwa sasa hivi inaweza

mardi 21 mai 2013

Top 7: Wasanii wa muziki Tanzania wanaopiga Pamba kali zaidi [wanaume]

  Hawa ndio wanaopiga Top Pamba 7 kutoka kali Bongo5.com zaidi ya wasanii wa Tanzania Jux, PHD Hemedy