Latest News

lundi 10 juin 2013

Matukio na baadhi ya washindi wa tuzo za Kill - 2013

GK

Barnaba akitumbuiza

Snura

Josee Mara

Afande sele kama kawa

Dancing

Dhabith Abdul

Mpoto na Ditto wakipokea tuzo

Producer Walter akipokea tuzo

Wema akimkabidhi tuzo Dimpoz

Dj Fetty in the building


Mzee Zoro akitoa show

Amin na Linnah

Alli Kiba in the building

Ben Pol na tuzo ya Mtunzi Bora wa Mashahiri Bongo Fleva

Gardner akipokea tuzo ya Msanii Bora wa Kike
kwa niaba ya mkewe Lady Jaydee

Ommy Dimpoz kwa mara nyingine tena
Tuzo ya Video Bora ya Mwaka....Baadae!

Kala Jeremiah akipokea tuzo zake

Chalz Baba akiwa na Tuzo zake!

Mashujaa Band wakifurahia Tuzo ya Band Bora

MC wa Kilimanjaro Tanzania Music Awards 2013 
Bw. Zembwela

ORODHA KAMILI WA WASHINDI WA TUZO HIZO
1. Msanii Bora wa Kiume ni Diamond!
2. Msanii Bora wa Kike ni Lady Jaydee.
3. Wimbo Bora RnB ni Rama Dee na Kuwa na Subira.
4. Wimbo Bora wa Mwaka Hip Hop ni Dear God wa Kala Jeremiah.
5. Wimbo Bora Afrika Mashiriki ni Jose Chameleone na Valu Valu
6. Wimbo Bora wa Mwaka Hip Hop ni Ney wa Mitego na wimbo wa Sema Nao.
7. Video Bora ya Mwaka ni Baadae ya Ommy Dimpoz.
8. Mtunzi Bora wa Mashairi Hip Hop ni Kala Jeremiah.
9. Msanii Bora wa Hip Hop ni Kala Jeremiah.
10. Wimbo Bora wa Ragga/Dancehall-Dabo na wimbo wa Predator!
11. Rapa Bora wa Band ni Fagasoni.
12. Msanii Bora wa Kiume Band ni Chalz Baba.
13. Msanii Bora wa Kike Band ni Luiza Mbutu.
14. Mtayarishaji wa Wimbo Bora wa mwaka Band ni Amoroso.
15. Wimbo Bora wa Bendi ni Mashujaa Band na wimbo wa Risasi Kidole.
16. Msanii Bora Anayechipukia ni Ali Nipashe.
17. Wimbo Bora wa Bongo Pop ni Ommy Dimples na Vanessa Mdee Me and You
18. Msanii Bora wa Kike Bongo Fleva ni Recho

19. Msanii Bora wa Kiume Bongo Fleva ni Diamond.
20. Mtayarishaji Bora wa Mwaka Bongo Fleva ni Man Water.
21. Mtunzi Bora wa Mashahiri ya Bongo Fleva ni Ben Pol.
22. Wimbo Wenye Vionjo vya Asili ni Chocheeni Kuni wa Mrisho Mpoto.
23. Msanii Bora wa Kike Taarab ni Isha Mashauzi
24. Msanii Bora wa Kiume Taarab ni Mzee Yusuf.
25. Mtayarishaji wa wimbo wa mwaka wa Taarab ni Enrico.
26. Mtunzi Bora wa Mashahiri ya Taarab ni Thabit Abdul


samedi 8 juin 2013

RINEM Signification du Logo

ce logo veux dire que la couleur noir rouge verte jaune ce sont les couleurs de la liberation de nos esprits dominer par le mondain, les deux etoiles nous orientent dans notre vie sur terre càd que nous devont chaque foi lire les signes de temp cette mission est une nouvelle vision du monde par l'afrique,regardez dans trop peu de temp le monde viendra puiser l'oxygene dans le bassin du congo,le triangle noir c'est Dieu au dessus de tout qui a donner equitablement le pouvoir et la vie à l'homme et à la femme il n'ya pas la vie sans le deux sexes,Dieu par la fleche noir donne à l'hoomme et la femme le pouvoir de gerer le monde(Bible)
Dieu a donné la vie et la liberté de creer à l'homme ils doivent se ressourcer chaque jour dans les saintes ecriture qui enseignent la paix ,le partage et l'amour sur la terre en compagnie du sainte esprit representer ici par la colombe massagere, Donc frere et soeur nos cultures africaines sont riches puisons y quelques choses. Allons en mission avec vous noirs, blancs,jaunes, toutes les races creer par DIEU pour l'amour ,la paix, la fraternité le partage et evitons tous ce qui peuvent nuire à la vie sur terre et surtout aux ecosystemes.
Follows this religion on www.nadav-news.blogspot.com

ce logo veux dire que la couleur noir rouge verte jaune ce sont les couleurs de la liberation de nos esprits dominer par le mondain, les deux etoiles nous orientent dans notre vie sur terre càd que nous devont chaque foi lire les signes de temp cette mission est une nouvelle vision du monde par l'afrique,regardez dans trop peu de temp le monde viendra puiser l'oxygene dans le bassin du congo,le triangle noir c'est Dieu au dessus de tout qui a donner equitablement le pouvoir et la vie à l'homme et à la femme il n'ya pas la vie sans le deux sexes,Dieu par la fleche noir donne à l'hoomme et la femme le pouvoir de gerer le monde(Bible)
Dieu a donné la vie et la liberté de creer à l'homme ils doivent se ressourcer chaque jour dans les saintes ecriture qui enseignent la paix ,le partage et l'amour sur la terre en compagnie du sainte esprit representer ici par la colombe massagere, Donc frere et soeur nos cultures africaines sont riches puisons y quelques choses. Allons en mission avec vous noirs, blancs,jaunes, toutes les races creer par DIEU pour l'amour ,la paix, la fraternité le partage et evitons tous ce qui peuvent nuire à la vie sur terre et surtout aux ecosystemes.

vendredi 7 juin 2013

Exclusive: Madee kuja na movie ya ‘Nani Kamwaga Pombe Yangu’

Mwanamuziki wa kundi la Tip Top Connection anayetamba na ngoma yake ‘Sio Mimi’, Madee amesema kwasasa anaendelea na project ya kuandaa movie yenye jina hilo ikiwa ni mwendelezo wa wimbo wake huo.


Katika movie hiyo Madee atakuwa mwigizaji mkuu na atamshirikisha mwigizaji na mchekeshaji
Zimwi pamoja na waigizaji wengine.
Akiongea na Bongo5, Madee alisema, “kuna comedian movies inakuja inaitwa “Nani Kamwaga
Pombe Yangu” ambayo itachezwa na mimi mwenyewe, kuna Zimwi watu ambao wana deal na hivi
vitu ndio nitajoin, baada ya miezi miwili au mitatu nitaongea zaidi na zaidi kitu gani kinaendelea
lakini hiyo movie ‘Nani Kamwaga Pombe Yangu’ inakuja na tumeshaanza kushoot, nadhani baada
ya wiki itakuuwa imeisha,ila baada ya miezi mitatu tutatoa taarifa kwenye vyombo vya habari.”

MEGA CONCERT A BUKAVU

Méga sublime concert!!!!
Intérpretation,
Musique,
Chant,
Danse,
Méga sublime beauté!
SOUSETTE SHAGASHA
ce samedi 15 juin 2013
 

Miss World 2013: Hakutakuwa na vazi la bikini katika shindano la kumsaka mrembo wa dunia mwaka huu!

Shindano la kumtafuta mrembo wa dunia kwa mwaka huu 2013 linategemewa kufanyika huko
Indonesia, lakini utofauti utakaokuwepo ni kwamba washiriki hawatavaa vazi la bikini kama
ilivyozoeleka katika mashindano yaliyopita.

Kwa mujibu wa mtandao wa aceshowbiz waandaaji wa shindano hilo la mrembo wa dunia 2013
wametoa taarifa ya uamuzi huo Jumanne wiki hii (June 5) ikiwa ni hatua ya kuepukana na
kutofautiana na vikundi vya kiislam vya Indonesia ambayo aslilimia 90 ya wananchi wake ni
waislam.
Msemaji wa RCTI waandaaji rasmi wa Miss World 2013 nchini Indonesia, Adjie S. Soeratmadjie
alisema
“Kutakuwa hakuna bikini katika shindano la miss world mwaka huu ili kuheshimu mila zetu za jadi
na maadili, Hili ni suala nyeti hapa Indonesia.. Tumejadiliana tangu mwaka jana na wamekubali.”
Shindano hilo linatarajiwa kufanyika mwezi september mwaka huu (2013).

lundi 27 mai 2013

OMMY DIMPOZ AWAPA SUPRISE NAY & DIAMOND NDANI YA MAISHA CLUB

Aikuwa kwenye ratiba ya video launching ya Muziki Gani....
Lakini kama ndugu yangu aliposikia
Kuna show yetu baada ya kuwa na tour ndefu Barani Ulaya
 akuona tabu kuja kuona show...
Lakini ilifika muda nipo stejini baada ya muziki kukatishwa akapanda
 stejini na kutumbuiza
Kwa dakika kadhaa tu.....It was crayyziee...!!
Much Love to Him......

Furaha iliyotawala mioyoni mwetu.....



Mizuka ilipompanda ajajajaja....... Pozi Pozi Pozi....Pozi kwa Pozi....

mercredi 22 mai 2013

HII NDO LIST YA WATU MAARUFU KUTOKA KENYA NA TANZANIA, AMBAO WAMETAJWA NA MTANDAO WA KENYA KUA NI MAFREEMASON. WOLPER NAE KATAJWA


Inawezekana kila kitu kina wakati wake, kuna muda watu walikuwa wakisikia neno ‘Freemason’ ama ‘Illuminate’ kama inavyojulikana nchini Kenya wengi walikuwa wanaiona ni habari kubwa, lakini kwa sasa hivi inaweza kuchukuliwa kama sio big deal.

Sababu ni ile ile kuwa wengi wanaoendelea kwa haraka ama kuwa juu katika kile wanachokifanya basi utasikia huyo ni member wa Freemason, kwa upande wa Marekani wanasema ‘he/she just sold her/his soul to the devil’.  Japo kwa upande wa Marekani wapo wanaokiri kufanya hivyo kweli, ila kwa Africa Mashariki hakuna msanii aliyewahi kukiri.
Lakini yote hayo ni kama yanakanganya na kuonekana kama hayana mantiki hasa pale ambapo vithibitisho vya kinachoongelewa huwa havileti mantiki ya moja kwa moja. Pengine watu wanatafuta pesa kwa bidii na kumuomba Mungu lakini kwa kuwa kwenye mstari wa juu wanajikuta wanahisiwa kuwa member wa secret society (Freemason). Oh..au labda ndo vile kwa upande mwingine lisemalo lipo na kama halipo laja !
Tunathubutu kuziita blaa blaa kwa upande mwingine, lakini tukiweka kwenye mabano kuwa inaweza kuwa na ukweli, who knows!
Mtandao wa malimwengu wa nchini Kenya huenda ukawa na mfano mzuri wa kile nilichokitaja hapo juu, mtandao huo kupitia mwandishi wake imetaja majina ya wasanii wa Tanzania na Kenya wanaosemekana kuwa ni wafuasi wa Freemason, lakini kizuri zaidi ni kwamba mtandao huo umejaribu kuonesha vithibitisho na kushindwa kupata jibu la moja kwa moja kwa nini wasanii hawa wamekumbwa na hili. Inabaki hivyo hivyo kuwa tetesi tu.
Hawa ni wasanii waliotajwa na maelezo yanayowahusu:
TANZANIA:
1.Naseeb Abdul Jumaa (Diamond Platinum)
 
Picha aliyopiga mwaka jana akiwa na mzungu anaeaminika kuwa ni moja kati ya viongozi wa Freemason wakiwa wameweka pozi na kuonesha ishara inayooaminika kuwa ni ya Freemason, na kwamba alipoulizwa yeye alisema hakufahamu kama alikuwa anaelekezwa kupiga picha kwa pozi la ki-freemason. Kwa mujibu wa mwandishi anaona inaweza kuwa kweli kwa sababu anaonekana kuenjoy!
2.Ali Kiba
 Iliwahi kusemekana pia kuwa Ali Kiba ni Freemason, na wewe pia unaweza kufikiria sababu kwamba eti alikuwa maarufu sana na baadae kufifia. Maoni ya mwandishi (Hakuna uthibithibisho/ushaidi unaoweza kuwekwa thidi yake).   
3.Jacquelin Wolper
 
Ni muigizaji maarufu wa kike mtanzania. Maoni ya mwandishi ( Hakuna ushaidi, tetesi peke yake hazina umuhimu)
KENYA:
1.Camp Mulla
 

Maoni ya mwandishi (Hapana, sio kweli. Sababu ya kufanikiwa kwenye muziki haimaanishi kuwa ni members wa Freemason. Hakuna mtu mwenye ushahidi kuwa Camp Mulla ni members wa Freemason).
2.Octopizzo
 
Maelezo yanayomhusu yanaonekana kuwa mengi sana kama kawaida, ni moja kati ya wasanii ambao tetesi za kuwa illuminate ni nyingi zaidi.
3.Nonini
 
 
 
Ukimtaja Nonini kama Illuminati lazima kitu serious zaidi kiandikwe ama ikielezwe. Nonini sio Illuminati (maoni ya mwandishi).
Hao ndio waliandikwa na kutolewa maoni ama maelezo na muandishi wa mtandao huo. Lakini tetesi huwa nyingi na kuongezeka mara kwa mara kwani hata Avril pia huwa anatajwa kuwa Illuminati na kwamba kazi yake ni kueneza usagaji nchini humo na eti sababu mojawapo ni mashairi ya wimbo wake ‘Chokoza’.
Haya yote yanasemwa tu, cha kufanya ni kile alichokisema Prof. Jay kwenye wimbo wake ‘Bongo Dar es Salaam’...  “Akili kumkichwa, ukizubaa unaachwa feli”.

mardi 21 mai 2013

Top 7: Wasanii wa muziki Tanzania wanaopiga Pamba kali zaidi [wanaume]

Hawa ndio wanaopiga Top Pamba 7 kutoka kali Bongo5.com zaidi ya wasanii wa Tanzania Jux, PHD Hemedy , Cyril, Bob Junior, Gelly wa Rymes, Izzo B na Diamond na hii ni kwa mujibu wa Bongo5 media Group.
 1. JUX

2. Hemed PhD
 



3. Cyril



4. Bob Junior



5. Gelly



6. Izzo B


7. Diamond Platnumz